KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI KATI
Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Kati inahudumia mikoa ifuatayo ya kijiografia ya Tanzania: Mbeya na Songwe. Kanda hii ina majimbo kumi na moja ambayo ni Mbeya Mashariki, Mbeya Magharibi, Mbarali, Kyela, Chunya, Rungwe, Ileje, Momba, Mbozi, Vwawa na Umalila. Kwa takwimu za mwisho wa mwaka 2025, Kanda hii ina makanisa 500.
Wafuatao ni Viongozi wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Kati wanaohudumu katika kipindi hiki:
Rev. Simon Andindile Mwakaliku
(Askofu wa Kanda)
(Askofu wa Kanda)
Rev. Emmanuel Kasarwike Mwaijala
(Makamu Askofu wa Kanda)
(Makamu Askofu wa Kanda)
Rev. Andongwisye Mwafubela Bukuku
(Katibu wa Kanda)
(Katibu wa Kanda)
Rev. Alfred Paulo Mahenge
(Mhazina wa Kanda)
(Mhazina wa Kanda)
| Jina | Cheo | Namba ya Simu | Barua-pepe ya Ofisi | Barua-pepe Binafsi |
|---|---|---|---|---|
| Rev. Simon Andindile Mwakaliku | Askofu wa Kanda | +255 754 368 543 | Askofu.Kanda-10@eagt.or.tz | Simon.Mwakaliku@eagt.or.tz |
| Rev. Emmanuel Kasarwike Mwaijala | Makamu Askofu wa Kanda | +255 755 775 434 | Makamu.Askofu.Kanda-10@eagt.or.tz | Emmanuel.Mwaijala@eagt.or.tz |
| Rev. Andongwisye Mwafubela Bukuku | Katibu wa Kanda | +255 764 600 414 | Katibu.Kanda-10@eagt.or.tz | Andongwisye.Bukuku@eagt.or.tz |
| Rev. Alfred Paulo Mahenge | Mhazina wa Kanda | +255 744 456 351 | Mhazina.Kanda-10@eagt.or.tz | Alfred.Mahenge@eagt.or.tz |