KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI MASHARIKI
Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Mashariki inahudumia mikoa ifuatayo ya kijiografia ya Tanzania: Iringa na Njombe. Kanda hii ina majimbo tisa ambayo ni Iringa Kaskazini, Iringa Kusini, Mufindi Kaskazini, Mufindi Kusini, Makambako, Njombe, Wanging’ombe, Makete na Ludewa. Kupata taarifa kuhusu majina na mawasiliano ya Viongozi wanaohudumu katika majimbo yaliyo katika Kanda hii bonyeza hapa. Kwa takwimu za mwisho wa mwaka 2025, Kanda hii ina makanisa 500.
Wafuatao ni Viongozi wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Mashariki wanaohudumu katika kipindi hiki:
Rev. Alfred Amos Mwagike
(Askofu wa Kanda)
(Askofu wa Kanda)
Rev. Ezekiel Yona Mwenda
(Makamu Askofu wa Kanda)
(Makamu Askofu wa Kanda)
Rev. Michael Aloyce Kilasi
(Katibu wa Kanda)
(Katibu wa Kanda)
Rev. Osmond Sebastian Mlowe
(Mhazina wa Kanda)
(Mhazina wa Kanda)
| Jina | Cheo | Namba ya Simu | Barua-pepe ya Ofisi | Barua-pepe Binafsi |
|---|---|---|---|---|
| Rev. Alfred Amos Mwagike | Askofu wa Kanda | +255 764 047 437 | Askofu.Kanda-12@eagt.or.tz | mkurugenzi.mima-taifa@eagt.or.tz |
| Rev. Ezekiel Yona Mwenda | Makamu Askofu wa Kanda | +255 754 652 629 | Makamu.Askofu.Kanda-12@eagt.or.tz | Ezekiel.Mwenda@eagt.or.tz |
| Rev. Michael Aloyce Kilasi | Katibu wa Kanda | +255 767 379 737 | Katibu.Kanda-12@eagt.or.tz | Michael.Kilasi@eagt.or.tz |
| Rev. Osmond Sebastin Mlowe | Mhazina wa Kanda | +255 763 637 586 | Mhazina.Kanda-12@eagt.or.tz | Osmond.Mlowe@eagt.or.tz |