KANDA YA ZIWA MAGHARIBI
Kanda ya Ziwa Magharibi inahudumia mikoa ifuatayo ya kijiografia ya Tanzania:
Shinyanga, Geita, Kagera, na sehemu ya mkoa wa Mwanza(Sengerema). Kanda hii ina majimbo kumi na moja ambayo ni Shinyanga, Kahama, Geita, Bukombe, Nyang'hwale, Ushetu, Sengerema, Bukoba, Biharamulo, Karagwe na Ngara. Kwa takwimu za mwisho wa mwaka 2025, Kanda hii ina makanisa 500.
Wafuatao ni Viongozi wa Kanda ya Ziwa Magharibi wanaohudumu katika kipindi hiki:
Rev. Raphael Machimu Nhungo
(Askofu wa Kanda)
(Askofu wa Kanda)
Rev. Zakaria Seni Ng'hungulime
(Makamu Askofu wa Kanda)
(Makamu Askofu wa Kanda)
Rev. John Lanya Okong'o
(Katibu wa Kanda)
(Katibu wa Kanda)
Rev. Winfrida James Rwezaura
(Mhazina wa Kanda)
(Mhazina wa Kanda)
| Jina | Cheo | Namba ya Simu | Barua-pepe ya Ofisi | Barua-pepe Binafsi |
|---|---|---|---|---|
| Rev. Raphael Machimu Nhungo | Askofu wa Kanda | +255 769 344 977 | Askofu.Kanda-08@eagt.or.tz | Raphael.Machimu@eagt.or.tz |
| Rev. Zakaria Seni Ng'hungulime | Makamu Askofu wa Kanda | +255 765 347 876 | Makamu.Askofu.Kanda-08@eagt.or.tz | Zakaria.Seni@eagt.or.tz |
| Rev. John Lanya Okong'o | Katibu wa Kanda | +255 754 322 227 | Katibu.Kanda-08@eagt.or.tz | John.Lanya@eagt.or.tz |
| Rev. Winfrida James Rwezaura | Mhazina wa Kanda | +255 754 888 137 | Mhazina.Kanda-08@eagt.or.tz | Winfrida.Rwezaura@eagt.or.tz |